Rais
wa Zanzibar Dr. Ali Mohammed Shein akiangalia mandhari ya Mji wa
Zanzibar katika chombo maalum { Darubini } wakati alipotembelea sehemu
mbali mbali za Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Michenzani baada ya Kuuzindua rasmi
Mandhari
ya Bustani ya Michenzani iliyomo ndani ya eneo la Mnara linavyoonekana
kwa juu ya Mnara wa Kumbu kumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

No comments:
Post a Comment